AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Amri Kiemba amesema, adhabu hatua iliyochukuliwa na Yanga kwa kocha wao kutokana na uzito wa tatizo ni saizi yake lakini ukiachana na masuala ya ubaguzi aliyoyaongea, kocha ameongelea pia kuhusu matatizo ya uongozi.
“Inawezekana sasa uongozi umetumia masuala ya ubaguzi kufukia mambo mengine ambayo kocha ameyataja. Kocha anamatatizo yake lakini nahisi ndani ya Yanga kuna matatizo mengine.”
Ukianzia suala la Morrison unaonaona kabisa ndani kuna shida lakini kocha anatumiwa kufukia matatizo mengine ya muda mrefu.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK