Aston Villa yapoteza matumaini kubaki ligi kuu ya Uingereza

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Klabu ya Aston Villa inayoshiriki Ligi Kuu Uingereza ambapo nyota Mtanzania, Mbwana Samatta anakipiga imepoteza matumaini ya kubaki ndani ya Ligi hiyo baada ya sare ya kufungana bao 1-1 na Everton hapo Jana. 

Mchezo huo ulikuwa na maana kubwa kwa #Villa endapo wangeshinda na kusepa na pointi tatu, ambapo wangejiongezea nafasi ya kubaki ndani ya ligi hiyo. 

Wachezaji na benchi la ufundi baada ya mchezo huo hawakuwa na furaha kwa kuwa waliyeyusha matumaini ya kubaki msimu ujao wa 2020/21. 

Sare hiyo inaifanya #Villa ibaki nafasi ya 19 ikiwa na pointi 31 huku #Everton ikiwa nafasi ya 11 na pointi 46 zote zimecheza mechi 36. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad