Auawa kikatili kwa kuchinjwa shingoni na Mumewe kisa unyumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA





Polisi Mkoani Katavi wamesema Dalali Malongo(20) Mkazi wa Kijiji cha Mipanga, Katavi, ameuawa kikatili kwa kuchinjwa shingoni na Mumewe Kisabo Joseph baaada ya Mume kukasirishwa na kitendo cha Mkewe kumnyima unyumba kwa muda mrefu na kuhisi huenda anachepuka. 

“Kila Joseph alipokuwa akimuomba Mkewe Dalali Malongo ampe tendo la ndoa Mke alikataa, Mume akahisi labda Mkewe anamsaliti akachukia, amemvizia na kumchinja kwa kutumia kisu kisha Mume akajinyonga juu ya mti na wote wamefariki”- RPC Katavi, Benjamin Kuzaga

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad