Benard Membe: Nitagombea Urais endapo wapinzani wakiungana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA




Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani wa Tanzania na kada wa chama tawala cha Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa miongo mingi Bernard Membe, anasema ikiwa vyama vya upinzani vitaungana na kumpa ridhaa ya kugombea nafasi ya Urais, basi atakuwa tayari kupambana na Rais John Magufuli katika uchaguzi mkuu ujao wa mwezi Oktoba mwaka huu. 

Membe amesifia sehemu ya utendaji kazi wa Magufuli, lakini ameyataja baadhi ya mambo ambayo anasema ikiwa hayatabadilishwa, basi yataitumbukiza nchini matatani. Katika mahojiano haya maalum na mwandishi wa BBC Sammy Awami kutoka nyumbani kwake, katika kijiji alichozaliwa Membe alianza kwa kutoa tathmini ya uongozi wa Rais Magufuli
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Replies
    1. Bernard Camilius Membe, Unanishangaza na kunihuzunisha Mwanagu.
      Hivyo wewe umeshindwa kusoma alama za Nyakati?

      Leo ulete fikira ya CUF Lipumba aungane na Maalimu Seif kweli jameni? inakuingia Akilini!!
      Au Mbatia aungane na Mbowe.. Faru Joni ni kitu kisichowezekana.
      kwa hali halisi ilivyo sasa. Au mie Sielewi? Nijuze mwanangu.

      Nisicho kielewa zaidi ni Upeo wa Akili zako. kwamba wakiungana labda wewe ndio Ugombee.. Unataka kugombe NINI?

      Kwa huu muonekano wa Fikra Zako.. inaelekea hata Ujumbe wa nyumba kumi kumi HUUWEZI na pia inanitia Mashaka kwamba wewe ulisha wahi kuwa nasikia WAZIRI.. Kweli WAZIRI.. Hasa WAZIRI..??

      Inatia shaka zaidi alie kuchagua KILAZA wewe kukupa Madaraka.

      Mie ningekushauri , Kutamana na VIBEKO , Mpange mikakati yenu
      mtakayo kubaliana kuanzisha Saccozi mpya ya Boda Boda au Car washing frenchasing Business na wewe uwe Raisi wa Saccozi hiyo
      mpya. na ukitaka ushauri zaidi tafadhali umuone Mr, Steve Nyerere
      ili aweze kukusaidia on How to Deal with Vibeko.

      Hivyo uko Tanzania au Nchini Twita ..? Manake fikra zako haziingi Akilini ni kama za Kilaza wa Kigoma.

      Nakutakia mafanikio mema katika Biashara yako Mpya. Tujulishe ukisha Sajili ili tukusapoti kama Kawa Mwanangu. Siasa Huijui.

      Delete
  2. Membe, Unanishangaza na kunihuzunisha Mwangu.
    Hivyo wewe umeshndwa kusoma alama za Nyakati?

    Leo ulete fikira ya CUF lipumba aungane na Maalimu Seif kweli jameni? inakuingia Akilini!!
    Au Mbatia aungane na Mbowe.. Faru Joni ni kitu kisichowezekana.
    kwa hali halisi ilivyo sasa.

    Nisicho kielewa zaidi ni Upeo wa Akili zako. kwamba wakiungana labda wewe ndio Ugombee.. Unataka kugombe NINI?

    Kwa huu muonekano wa Fikra Zako.. inaelekea hata Ujumbe wa nyumba kumi kumi HUUWEZI na pia inanitia Mashaka kwamba wewe ulisha wahi kuwa nasikia WAZIRI.. Kweli WAZIRI.. Hasa WAZIRI..??

    Inatia shaka zaidi alie kuchagua KILAZA wewe kukupa Madaraka.

    Mie ningekushauri , Kutamana na VIBEKO , Mpange mikakati yenu
    mtakayo kubaliana kuanzisha Saccozi mpya ya Boda Boda au Car washing frenchasing Business na wewe uwe Raisi wa Saccozi hiyo
    mpya. na ukitaka ushauri zaidi tafadhali umuone Mr, Steve Nyerere
    ili aweze kukusaidia on How to Deal with Vibeko.

    Hivyo uko Tanzania au Nchini Twita ..? Manake fikra zako haziingi Akilini ni kama za Kilaza wa Kigoma.

    Nakutakia mafanikio mema katika Biashara yako Mpya. Tujulishe ukisha Sajili ili tukusapoti kama Kawa Mwanangu. Siasa Huijui.

    ReplyDelete
  3. Bernard Camilius Membe, Unanishangaza na kunihuzunisha Mwanagu.
    Hivyo wewe umeshindwa kusoma alama za Nyakati?

    Leo ulete fikira ya CUF Lipumba aungane na Maalimu Seif kweli jameni? inakuingia Akilini!!
    Au Mbatia aungane na Mbowe.. Faru Joni ni kitu kisichowezekana.
    kwa hali halisi ilivyo sasa. Au mie Sielewi? Nijuze mwanangu.

    Nisicho kielewa zaidi ni Upeo wa Akili zako. kwamba wakiungana labda wewe ndio Ugombee.. Unataka kugombe NINI?

    Kwa huu muonekano wa Fikra Zako.. inaelekea hata Ujumbe wa nyumba kumi kumi HUUWEZI na pia inanitia Mashaka kwamba wewe ulisha wahi kuwa nasikia WAZIRI.. Kweli WAZIRI.. Hasa WAZIRI..??

    Inatia shaka zaidi alie kuchagua KILAZA wewe kukupa Madaraka.

    Mie ningekushauri , Kutamana na VIBEKO , Mpange mikakati yenu
    mtakayo kubaliana kuanzisha Saccozi mpya ya Boda Boda au Car washing frenchasing Business na wewe uwe Raisi wa Saccozi hiyo
    mpya. na ukitaka ushauri zaidi tafadhali umuone Mr, Steve Nyerere
    ili aweze kukusaidia on How to Deal with Vibeko.

    Hivyo uko Tanzania au Nchini Twita ..? Manake fikra zako haziingi Akilini ni kama za Kilaza wa Kigoma.

    Nakutakia mafanikio mema katika Biashara yako Mpya. Tujulishe ukisha Sajili ili tukusapoti kama Kawa Mwanangu. Siasa Huijui.

    ReplyDelete

Top Post Ad