Bodi ya Mikopo Yaja na Mpya Kwa Wanufaika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu nchini (HESLB), imesema kuwa uwepo wa vitambulisho vya Taifa, utasaidia bodi hiyo katika kuwabana wanufaika wa mikopo ili waweze kurejesha kwa wakati.

 Mkuu wa Mawasiliano ya Bodi hiyo, Omega Ngole amesema kuwa wanaufaika wengi wamekuwa wakijificha pindi wanapohitimu elimu hiyo ya juu, hivyo kuisababishia hasara bodi na kupelekea wanafunzi wengi kukosa mikopo.

Aidha Omega ameongeza kuwa makato hayo ya asilimia 15 yanayopingwa na baadhi ya wadau nchini, yamefanya bodi ikusanye marejesho ya Shilingi Bilioni 18.9 ndani ya mwezi mmoja.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad