AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Harmonize amezidi kuitanua ngome yake, leo ametangaza kumsaini mwimbaji wa Nigeria Skales kwenye label yake ya Konde Music World Wide.
Hii imekuja baada ya siku chache zilizopita @harmonize_tz kutangaza kuwa ataongeza wasanii wengine watatu kwenye Label hiyo akiwemo mmoja kutoka Nigeria.
Harmonize na Skales tayari wamekuwa washirika wa muziki kwa kufanya kazi nyingi pamoja ikiwemo Oyoyo, Oliver Twist II REMIX, Fire Waist na Rumba iliyopo kwenye album ya Afro East ya Harmonize.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK