AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mkurugenzi wa lebo ya muziki ya WCB diamondplatnumz ameweka wazi kuwa amemalizana na lebo ya Universal ambayo alimwaga wino kusambaza kazi zake za muziki
Diamond amesema kuwa mejifunza mengi kupitia mikataba yao kiasi kuwa akiona msanii ana sign anamsikitikia
Diamond amesema "Nimefanya kazi na Universal takribani miaka miwili na nusu nimemalizana nao mwaka huu. Nisiwe mnafiki ninapoona msanii yeyote aki sign mara ya kwanza namsikitikia. Dada yangu vanessamdee ali signiwa niliwaambia uongozi kwamba duuh natamani ajue anachoenda kukutana nacho. Lakini mimi sio mtu wa kuongea mitandaoni nakaaga tu kimya"
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK