AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Naibu Waziri wa Afya, Dk. Godwin Mollel ameongoza kura za maoni katika Jimbo la Siha, Kilimanjaro kwa kupata kura 148.
Dkt. Mollel amefuatiwa na Mkuu wa Mkoa wa zamani wa Tabora, Agrey Mwanry mwenye kura 147 huku nafasi ya tatu ikishikwa na Tumsifu Kweka aliyepata kura 53.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK