EXCLUSIVE: ‘Kufanya Ukahaba sio Kosa Kisheria’ -Wakili Juma

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Biashara ya Ukahaba ni miongoni mwa biashara zinazopigwa vita duniani, ambapo leo January 18, 2018 wakili wa kujitegemea Juma Nassoro amesema kisheria ni kosa kufanya Ukahaba kwa ajili ya kujipatia kipato.

 Akizungumza na AyoTV, Wakili Nassoro amesema kuwa kisheria kufanya Ukahaba si kosa, isipokuwa kufanya Ukahaba kwa lengo la kibiashara ni kosa.

“Kidini ukahaba ni makosa lakini kwa sheria za nchi yetu mtu kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti sio kosa, isipokuwa litakuwa kosa la kijinai ni kufanya kazi hiyo kwa kujiingizia kipato na endapo akitiwa hatiani adhabu yake ni kifungo ama faini,”.– Wakili Juma Nassoro

VIDEO:

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad