AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na AyoTV, Wakili Nassoro amesema kuwa kisheria kufanya Ukahaba si kosa, isipokuwa kufanya Ukahaba kwa lengo la kibiashara ni kosa.
“Kidini ukahaba ni makosa lakini kwa sheria za nchi yetu mtu kuwa na mahusiano na watu tofauti tofauti sio kosa, isipokuwa litakuwa kosa la kijinai ni kufanya kazi hiyo kwa kujiingizia kipato na endapo akitiwa hatiani adhabu yake ni kifungo ama faini,”.– Wakili Juma Nassoro
VIDEO:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK