AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakili wa kujitegemea, Fatma Karume amesema alilalamika kuhusu jengo lake kupigwa bomu na hakuna majibu yoyote aliyopewa hadi sasa.
Jana jeshi la polisi limemtaka mtu yoyote ambaye anahofu na usalama wake kutoa taarifa hizo polii ili ziweze kufanyiwa kazi badala ya kulalamika mitandaoni na kwenye vyombo vya habari vya ndani na nje.
“Mimi nimelalamika kuhusu jengo langu kupigwa bomu. Nimeenda mpaka kwa DCI pale HQ Wizara ya ndani @ tanpol mpaka hii leo hamjanipa majibu yoyote,” aliandika Fatma katika ukurasa wake wa twitter
“Bado mnataka nikae kimya ili iweje? nitalalamika tu kwamba hamjanipatia majibu yeyote wala hamjakamata mtu. tusitishane kabisa,”
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK