Flavian Matata Anavyorudisha kwa Jamii!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MWANAMITINDO wa kimataifa wa Bongo, Flaviana Matata ‘Flav’ anaendelea kuwa mfano wa mastaa wanaorudisha kwa jamii baada ya kuzindua bidhaa zake mpya za taulo za kike (pedi).


Flav amezipa taulo hizo jina la Lavy Sanitary Pads huku lengo kuu likiwa ni kusaidia wanafunzi hasa wasichana wasiokuwa na uwezo.


Akistorisha na IJUMAA SHOWBIZ, Flav ambaye pia ni mjasiriamali amesema lengo la kuanzisha bidhaa hizo ni kutaka kusaidia watoto wa kike ambao hawana uwezo wa kununua pedi wanapopata hedhi hali inayosababisha kukosa masomo.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad