AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Kawe (Chadema), Halima Mdee, amelishukuru jeshi la polisi na kusema wanawapenda.
Amesema wasikubali maslahi ya watu wachache wakavuruga upendo na akili ya taifa letu.
Mdee ameandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter masaa machache baada ya kupokelewa Makamu wa Chama cha Demokrasia (Chadema), Tundu Lissu.
“Asanteni sana @tanpol !!! Tunawapenda sana!! Sisi ni watu wema!!! Tanzania ni yetu sote. Tusiruhusu maslahi ya watu wachache watuvurugie upendo wa asili wa taifa letu,” aliandika Mdee.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK