Nandy amethibitisha hilo wakati akijibu maswali ya mashabiki kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo shabiki mmoja alimuuliza kama ana ndoto za kufanya kolabo na Alikiba. Nandy alimjibu "Tunayo tayari"
HABARI HIZI ZINAPATIKANA KWENYE APP YA UDAKU SPECIAL, BONYEZA HAPA KUIDOWNLOAD KWENYE SIMU YAKO
0 Comments