Heche: Mfumo wetu wa kutoa haki ni mbovu mtu anawekwa gerezani kwa kosa lenye dhamana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Aliyekuwa Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche amesema mfumo wa kutoa haki ni mbovu.

Amesema badala ya kuwapa haki unadaidia kuminya haki watu hasa wapinzani wa serikali ya CCM.

“Inaumiza sana kwamba karibia mwezi Nusrat Hanje Katibu Mkuu Bavicha na Twaha Mwaipaya mwenezi Bavicha wako ndani kwa kosa lenye dhamana inauma sana,” aliandika Heche katika ukurasa wake wa Twitter.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad