AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Aliyekuwa Mbunge wa Tarime Vijijini (Chadema), John Heche amesema mfumo wa kutoa haki ni mbovu.
Amesema badala ya kuwapa haki unadaidia kuminya haki watu hasa wapinzani wa serikali ya CCM.
“Inaumiza sana kwamba karibia mwezi Nusrat Hanje Katibu Mkuu Bavicha na Twaha Mwaipaya mwenezi Bavicha wako ndani kwa kosa lenye dhamana inauma sana,” aliandika Heche katika ukurasa wake wa Twitter.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK