AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shule hii iliweka msingi imara na kumuwezesha kupita katika taasisi nyingine za elimu na kumuwezesha kukabidhiwa fungua za Ikulu ya Tanzania mwaka 1995, nafasi aliyoitumikia hadi mwaka 2005.
Akizungumza na Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Mwalimu Mkuu wa Shule hiyo, Charles Maduka amesema serikali imewapa shilingi milioni 400 kwa ajili kujenga shule, na walipanga kumualika Rais Mkapa kuja kuizindua.
Ameongeza kuwa kiongozi huyo alikuwa na mchango mkubwa katika elimu na kwa kutambua hilo eneo la darasa alimosoma kiongozi huyo patajengwa maktaba.
Kwa upande wake Mwalimu Tusuwege Kayinga amesema atamkumbuka Rais Mkapa kwa namna alivyowasaidia wafanyakazi kupata mikopo yenye riba nafuu ambayo amenufaika nayo. #BurianiMkapa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK