AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gari hili aina ya Benz lilikuwa la Rais Mstaafu, Benjamin Mkapa.
Mzee Mkapa alikuwa akilitumia gari hilo kabla ya kuwa Rais wa Tanzania mwaka 1995, ambapo kwa wakati huo alikuwa Mbunge wa Nanyumbu na waziri.
Sasa hivi Benz hiyo inatumiwa na ndugu wa marehemu ambaye ni Paroko wa Kanisa Katoliki Masasi, Patrick Mkapa
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK