AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Imekuwa kama fashion, sasa sijuii ni kweli au ndo muendelezo wa kina baba kutengwa kwenyw kula mema ya watoto wao? jana nilikuwa na sikiliza kipindi cha the switch wasafi pale kwenye segment ya cha kijani mama wa msanii mario alikuwa ana hojiwa akasema amemlea mwanae peke yake baba yake alimtelekeza
Diamond naye baba yake alimtelekeza, Ommy dimpoz baba yake naye alimtelekeza, Mwana FA naye baba alimtelekeza, Ney wa mitego kila siku anamuonesha mama ake tu sijawahii kumuona baba, inatia mashaka kweli kama ni tabia zetu kweli wakina baba tuache aise
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK