AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Katibu Mwenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ,Humphrey Polepole amesema kuwa chama hicho hakitafuti mshindi kupitia kura za maoni na kwamba kura hizo zitakisaidia tu chama hicho kuhitimisha maamuzi yake kuhusiana na watakaofaa kugombea na hivyo kuwatoa hofu walioangushwa katika mchakato huo
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK