Huwezi Amini Watoto wa Nyerere Wapigwa Chini Vibaya Kura za Maoni....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Watoto wa Mwalimu Julius Nyerere, Makongoro na Madaraka Nyerere wameshindwa kutamba katika Jimbo la Butiama Mara, baada ya kupata kura za maoni chache.

Katika Wajumbe 555 waliopiga kura, kukiwa na wagombea 59,Makongoro alipata kura tano na Madaraka Nyerere aliambulia kura mbili.

Mshindi wa Jimbo hilo alitangazwa kuwa ni Jumanne Sagini aliyepata kura 84, akifuatiwa na Frank Mahemba aliyepata kura 80, wa tatu akiwa Joseph Nyamboha kura 46.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad