Idris Amtolea Povu Steve Nyerere Anavyoutafuta Ugali wa Chama

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mchekeshaji, Idris Sultan, amesema hataki kuwa mnafiki kwani Steven Nyerere alimuongelea maneno mabaya kwenye mahojiano.

Idris amesema hata kama kulikuwa na ukweli au la alipaswa kumuambia moja kwa moja.

“Sitaki kuwa mnafiki, kaka Steve juzi kaniongelea mbovu sana kwenye interview, mambo ambayo hata kama ni kweli au la aliweza kuniambia personally,” aliandika Idris katika ukurasa wake wa Twitter.

“Nikahojiwa na Mimi nikasema siwezi ongea ni mkubwa wangu tena hasa sasa anavyotafuta ugali wa chama. Allah be with you wakati huu mgumu,” alisema.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad