Idris Sultan Asomewa Upya Mashtaka

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


MSANII wa Vichekesho, Idriss Sultan (27) na wenzake wawili wamesomewa upya mashitaka ya kuchapisha maudhui bila leseni ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kumuachia na kumkamata tena.

Mbali na Sultan ambaye ni Mkazi wa Mbezi Beach washitakiwa wengine ni Dokta Ulimwengu (28) Mkazi wa Msasani na Isihaka Mwinyimvua (22) Msanii na Mkazi wa Gongo la Mboto.

 
Washitakiwa hao awali walifikishwa mahakamani hapo na kusomewa mashitaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Huruma Shaidi ambae awali alifuta kesi hiyo na washtakiwa walikamatwa na kusomewa upya mashtaka hayo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad