AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ngoma mpya ya ayvanny ‘Amaboko’ imekua ndio nyimbo inayofanya vizuri zaidi kati ya nyimbo za Afrika zilizoachiwa hivi karibuni.
Sanjali na hilo, pia picha ya Rayvanny imewekwa kwenye Cover ya Playlist kubwa ya Muziki Barani Afrika (Africa Now).
Apple wamekua na utaratibu wa kuweka cover za Mastaa ambao Ngoma zao zinaongoza kwa Mauzo katika mtandao huo, kwenye Playlist zao mbalimbali.
Hivyo basi, Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza Tanzania na Afrika Mashariki kwa picha yake kutumika Kama Cover katika Playlist hiyo kubwa zaidi barani Afrika kwa sasa.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
waongo, Nandi ndo msanii wa kwanza kuwa kwenye apple muzik. yaani hata aibu hawani..
ReplyDelete