Insta Pamechafuka Mwanamuziki Rayvanny na Bosi Wake Diamond Platnumz Watamba Kushika Number Moja Apple Music

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mnyama mkali kutoka WCB, Chui Rayvanny amezidi kufanya vizuri kimataifa mara baada ngoma yake ya "Amaboko" aliyomshirikisha Diamond Platnumz kushika namba moja kwenye mtandao mkubwa wa kuuza nyimbo duniani uitwao, Apple Music.

Ngoma mpya ya ayvanny ‘Amaboko’ imekua ndio nyimbo inayofanya vizuri zaidi kati ya nyimbo za Afrika zilizoachiwa hivi karibuni.

Sanjali na hilo, pia picha ya Rayvanny imewekwa kwenye Cover ya Playlist kubwa ya Muziki Barani Afrika (Africa Now).

Apple wamekua na utaratibu wa kuweka cover za Mastaa ambao Ngoma zao zinaongoza kwa Mauzo katika mtandao huo, kwenye Playlist zao mbalimbali.

Hivyo basi, Rayvanny anakuwa msanii wa kwanza Tanzania na Afrika Mashariki kwa picha yake kutumika Kama Cover katika Playlist hiyo kubwa zaidi barani Afrika kwa sasa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. waongo, Nandi ndo msanii wa kwanza kuwa kwenye apple muzik. yaani hata aibu hawani..

    ReplyDelete

Top Post Ad