AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kama zilivyo dawa nyingine zote, bangi inaathari kwa mwili wa binadamu — baadhi zenye manufaa lakini nyingine zenye madhara. Ingawa wengi wanaifahamu kwa athari zake zinazojulikana kama macho mekundu, kuongeza hamu ya kula, bangi inahusishwa pia na kuweza kupunguza maumivu ya mwili. Baadhi ya watafiti waliwahi kusema kuwa inasaidia hata kwenye kudhibiti kuanguka kutokana na ugonjwa wa kifafa.
Zifuatazo ni athari za uvutaji wa bangi kwenye ubongo na mwili wa binadamu:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK