Joh Makini Akana Weusi Kuwahi Kuwa na Ugomvi na Producer Nahreel

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Tunatumai wewe sio mgeni wa zile fununu kwamba Weusi walizinguana na mwimbaji pia mtayarishaji Nahreel na ndio maana wakakata mguu kwenda kurekodi kwenye studio zake.

Kwenye XXL Clouds FM, Weusi wamesema hawakuwahi kuwa na tofauti yoyote na nahreel, moja kati ya watayarishaji ambao wametengeneza kazi nyingi. Hii imekuja baada ya Joh Makini leo kuachia mkwaju wake #Dangerous akimpa shavu la nguvu Nahreel
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad