Jokate: Wewe ni wa thamani sana, usiwaze maneno ya watu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ametoa ushauri kwa watu kujithamini na kujua kuwa wao ni wathamani hata kama wanasemwa vibaya . 


Kupitia instagram yake Jokate Ameandika Ujumbe Huu Siku; 


''Kumbuka wewe umeumbwa kwa mfano wake Mwenyezi Mungu. Hivyo wewe ni wa thamani sana. Usiwaze maneno ya watu na wanasema nini juu yako. Waza zaidi juu ya Mungu anachosema juu yako. Na Mungu amesema ametupangia mema/kuwa na amani na sio mabaya ili tupate kuwa na tumaini la baadae. Muamini Mungu!!Yeremiah 29:11'' @jokatemwegelo

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad