Kagere achaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



MSHAMBULIAJI namba moja wa Klabu ya Simba Meddie Kagere amechaguliwa kuwa Mchezaji Bora wa mwezi Machi wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) msimu wa 2019/20. 

 Kagere alitwaa tuzo hiyo baada ya kuwashinda wenzake Paulo Nonga wa Lipuli  na Never Tigere wa Azam FC alioingia nao fainali. 

Kagere ametupia jumla ya mabao 19 na anaongoza kwenye ligi huku Nonga akiwa na mabao 11. 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad