Kauli ya Tundu Lissu Leo Baada ya Kutua Tanzania "Huu Mwili ni Ramani za Makovu ya Risasi na Visu vya Madaktari,"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



"Mungu wetu ni mwema sana, katika mazingira ya kawaida sikutakiwa niwe hai, nimerudi nyumbani kwetu, ni miaka mitatu kasoro mwezi ifike ile siku ambayo hata sikumbuki hata niliondokaje, miaka mitatu ambayo ilikuwa ni migumu sana" - Tundu Lissu

"Mkiniona nimevaa hivi unaweza usielewe sana kungekuwa na uwezekano wa kuvua magwanda haya, wote mtakimbia kwa sababu huu mwili ukiachia kichwa na uso, huu mwili ni ramani za makovu ya risasi na visu vya Madaktari, huu mwili una vyuma vingi" - Tundu Lissu

"Huu Mguu wa kulia umejaa vyuma kuanzia kwenye Goti hadi kwenye Nyonga, vingine vipo kwenye mkono wa kushoto na Mkono wa kushoto haunyoki, kuna Risasi iko chini ya Mgongo Madaktari walisema ibaki hapo hapo ni salama zaidi kuliko kuitoa" - Tundu Lissu
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad