Kenyatta Atangaza Siku 3 Kumwomboleza Mkapa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta ametangaza siku tatu za maombolezo ya kitaifa kwa nchi hiyo kuanzia Jumatatu ijayo hadi Jumatano, kutokana na kifo cha Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Benjamin Mkapa ambaye amefariki dunia usiku wa kuamkia leo, Julai 24, 2020.

Kenyatta amesema bendera ya Kenya na Jumuiya ya Afrika Mashariki zitapepea nusu mlingoti kuanzia Julai 27, 2020 hadi Julai 29, 2020 ikiwa ni sehemu ya kuomboleza kifo hicho na kumuenzi kiongozi huyo wa Tanzania.

“Nawapa pole Watanzania wote na familia ya Mkapa kwa kuondokewa na mpendwa wenu, Mkapa alikuwa kiongozi bora aliyesimama kidete kuiungansha Afrika Mashariki,” amesema Kenyatta.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad