AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Waziri wa Maliasili na Utalii Kigwangala aongoza kura za maoni Jimbo la Nzega Vijijini kwa kupata kura 415 kati ya 731 zilizopigwa, John Doto Kisute amepata kura 264, Gabriel Ishole amepata kura 8. Wagombea wengine 16 wamepata chini ya kura 3 kila mmoja.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK