Kim Kardashian Kupewa Talaka na Kanye West Kisa Mwanamuziki Meek Mill

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kanye West amekuwa akitaka kumpa talaka Kim Kardashian, amesema hii imeanza mara baada ya kukutana na Meek Mill mwaka jana kwenye mchakato wa mabadiliko ya sheria za magereza.

Kwanini Kanye amefikia maamuzi hayo? au anawaza pengine Meek Mill amemchapia mkewe kutokana na ukaribu waliokuwa nao? ni maswali ambayo wengi wamebaki wakijiuliza.

Kwenye tweets zake zenye utata usiku wa kuamkia leo, Kanye aliandika kuwa hamlaumu Meek Mill na anamuheshimu sana lakini Kim Kardashian alitoka nje ya mstari
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad