Kimenuka Kwa Mwijaku..Afikishwa Mahakamani Kisa Picha za Utupu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii wa Filamu nchini, Brighton Mwemba maarufu kama Mwijaku amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na shtaka moja la kusambaza picha za utupu kinyume cha sheria.

Mwijaku anadaiwa kuchapisha picha hizo Septemba 15 na Oktoba 10 mwaka 2019 kwa kutumia mfumo wa kompyuta kupitia mtandao wa WhatsApp
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad