Kimenuka..Kampuni ya Moil Yalipa Faini ya Tsh Milioni 10 Kwa Kuhujumu Mafuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imesitisha kufuta leseni ya Kampuni ya Mansoor Oil Industries Limited (MOIL) baada ya kuomba msamaha na kulipishwa faini ya Tsh. Milioni 10

EWURA imesema kusudio la kufuta leseni ya Kampuni ya Olympic Petroleum lipo pale pale baada ya kukaidi maelekezo. Iliamriwa hadi jana saa 11 jioni iwe imesambaza mafuta katika maeneo waliyoelekezwa

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Godfrey Chibulunje amesema kutokana na taarifa za uhaba wa mafuta nchini, wamekuwa wakifuatilia hali ya upatikanaji wake kwa kutumia wakaguzi wake na kupata taarifa kutoka kwa Viongozi wa Wilaya au Mikoa
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad