Kumbe Wanaume Nao Wanapenda Huhongwa Kama Wanawake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Katika mapenzi Kila mtu anapendwa kuhongwa na Mpenzi wake haijalishi ni Mwanaume au Mwanamke,

Tatizo linalo kuja hapa ni kwamba wahongaji wakike ni wachache kuliko wanaume,

Ukipata mwanamke anayekupa hela, mwanaume huwanga tunafulahi sana, tunapopewa hela na wapenzi wetu wa kike.

"SIYO WANAWAKE TU WANAOPENDA KUHONGWA"
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jamani wanawake tumezidi kuna mkaka mmoja anaitwa Rummy,wala aangaiki kutongizwa kila mwanamke anamtaka rummy shoo,eti kisa wahongwe magari.wanawake bana,kuna mwingine anajilengesha mimba eti na yeye azae na Rummy maisha yamnyookee.Hongera Rummy.

    ReplyDelete

Top Post Ad