AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Naona Watalii wanazidi kuja, hongereni sana mnaosimamia Utalii, Tanzania tuko salama, Maadui zetu watasema mengi ila tupo salama, hata hapa hatujavaa barakoa, kwani sisi hatuogopi kufa!?, corona ipo mbali kule tuliimaliza, Watali waje tu watakuwa salama” -JPM baada ya uapisho wa Viongozi walioteuliwa kwenye nyadhifa mbalimbali, Ikulu ya Chamwino Dodoma leo
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK