AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Nakumbuka kipigo chake, Aisee kilikuwa hatari, lakini nilikuwa napenda kupigwa naye kwa kweli yaani sijui nisemeje, kwa sababu alikuwa akinipiga ananibembeleza sana, basi nainjoi. Kiukweli nakimisi kipigo kama kile na kubembelezwa"
Aliongeza "Kuna siku Nasibu (Mondi) alionaga meseji imeingia kwangu akawa ana wasiwasi nayo, akanipiga kibao kikali kwenye shavu, halafu ndugu zangu wakajua na hata ninyi (Magazeti Pendwa) mlitoa kwenye gazeti, lakini niliwaambia mimi napenda kupigwa naye hivyo waniache".Alifunguka Wema
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK