AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Alikiba alianza kucheza tangu akiwa na siku 7, katika ukuaji wake alikuwa akisikia muziki anaufuata, sasa siku hiyo ilipita ngoma ya kiluguru, Ali akaenda kuokotwa Vingunguti kutoka Kariakoo hadi Vingunguti, siku nyingine ikapita mdundiko akakutwa Kigogo jinsi mziki ulivyokuwa kwenye damu yake, nikaenda kuripoti Polisi mara nne ila nashukuru Mungu nilimpata jioni" - Mama Alikiba ameiambia EATV
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK