Mama Alikiba Atoa Siri "Ali Kiba Alipokuwa Mdogo Ikipita Ngoma ya Mdundiko Anaenda Nayo Anapotea"

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

"Alikiba alianza kucheza tangu akiwa na siku 7, katika ukuaji wake alikuwa akisikia muziki anaufuata, sasa siku hiyo ilipita ngoma ya kiluguru, Ali akaenda kuokotwa Vingunguti kutoka Kariakoo hadi Vingunguti, siku nyingine ikapita mdundiko akakutwa Kigogo jinsi mziki ulivyokuwa kwenye damu yake, nikaenda kuripoti Polisi mara nne ila nashukuru Mungu nilimpata jioni" - Mama Alikiba ameiambia EATV
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad