AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na wanahabari wakati wa shughuli ya kufunguliwa kwa duka la kuuza magauni ya harusi jijini Dar es salaam Mama Nandy alishindwa kueleza iwapo anampenda mkwe wake huyo mtarajiwa au la.
“”Mambo ya ndoa ni mipango ya Mungu, wengi wanatamani kumuona Nandy anaolewa ila Mungu akipenda harusi itakuwepo, kama mzazi bado, Mkwe siwezi sema namkubali au simkubali kwa sababu Nandy ndio anaolewa sio mimi, yeye ndio kamkubali, yeyote atakayetuletea hata kama ni kichaa kwetu sawa” amesema Mama Nandy.
Nandy alifanya shuguli ndogo ya kufungua duka lake la kuuza vifaa kwa harusi kwa kinadada ambalo limeanza kufanya kazi leo baada ya kujihusha muda mrefu na shughuli za ushonaji wa nguo.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK