Mama Nandy Afunguka Ndoa Ya Mwanae “Simkubali Sana Billnass”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama wa mwanamuziki Nandy ameshindwa kuzungumzia juu ya ndoa ya mtoto wake na msanii mwenzi Billnas ambaye alimvesha pete ya uchumba hivi karibuni kabla ya kufanya utambulisho rasmi kwao.

Akizungumza na wanahabari wakati wa shughuli ya kufunguliwa kwa duka la kuuza magauni ya harusi jijini Dar es salaam Mama Nandy alishindwa kueleza iwapo anampenda mkwe wake huyo mtarajiwa au la.

“”Mambo ya ndoa ni mipango ya Mungu, wengi wanatamani kumuona Nandy anaolewa ila Mungu akipenda harusi itakuwepo, kama mzazi bado, Mkwe siwezi sema namkubali au simkubali kwa sababu Nandy ndio anaolewa sio mimi, yeye ndio kamkubali, yeyote atakayetuletea hata kama ni kichaa kwetu sawa” amesema Mama Nandy.

Nandy alifanya shuguli ndogo ya kufungua duka lake la kuuza vifaa kwa harusi kwa kinadada ambalo limeanza kufanya kazi leo baada ya kujihusha muda mrefu na shughuli za ushonaji wa nguo.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad