MAMBO 10 ya Kufanya Kabla Hujafikia Miaka 28..!!!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


1. Jifunze kuweka akiba ya fedha

2.Tafuta mpenzi sahihi na tulia nae

3. Acha kuishi na wazazi au kupanga nyumba na washikaji

4. Achana na starehe zisizo na maana

5. Jali sana afya yako

6. Kuwa na marafiki wenye changamoto za maendeleo

7. Anza kununua asset kama vile ardhi, kitanda, vyombo vya nyumbani na n.k

8. Jifunze kuvaa kwa heshima na si tu suala la kupendeza

9. Acha mambo ya kitoto jisikie umekua mkubwa na mambo unayoyafanya yawe ya kiutu uzima

10. Zingatia sana muda wako.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad