Manara: Mkapa wanamichezo ulituachia uwanja, uliojengwa baada ya umati mkubwa wa mashabiki wa Simba kwenda Airpot

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Alama yetu Wanamichezo uliyotuachia Mzee wetu Mkapa, Uwanja huu ulijengwa baada ya Rais wa wakati ule Mh Ben Mkapa kuona umati mkubwa wa Washabiki Airport ya Dar es Salaam, waliokwenda kuipokea Simba SC iliyotoka kuiondoa Zamalek ya Misri Kwenye michuano ya klabu Bingwa Afrika, Mzee Mkapa alishangazwa na umati ule na kujiridhisha kuwa Watanzania wanahitaji kujengewa uwanja mkubwa na wa kisasa.


Hyo ilikuwa katikati ya mwaka 2003 na Mzee Mkapa yy alikuwa akitoka nje ktk Safari zake za kikazi, Kiufupi bila Mzee Mkapa tusingekuwa na uwanja huu mkubwa na mzuri kupita vyote Afrika Mashariki. Ila mchango wa mashabiki wa Machampioni wa nchi Simba kujazana pale Kipawa ndio chanzo.



-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad