Mashinji Achukua Fomu Kuchuana na Gwajima

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA



ALIYEKUWA Katibu Mkuu wa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kabla ya kuhamia kuhamia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Vincent Mashinji amechukua fomu ya kuomba ridhaa kuwania kuteuliwa kugombea ubunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam.

Wengine waliochukua fomu kuwania ubunge jimbo la Kawe ni:

Askofu Josephat Gwajima

Msanii na Mtangazaji, Burton Mwijaku

Mshauri Mwandamizi wa Kituo cha Sera za Kimataifa na aliyekuwa Afisa Mawasiliano katika Ofisi ya Rais – UONGOZI Institute, Amani Nkurlu.

Mhasibu wa Ofisi ya RUWASA Mkoa wa Dodoma Isihaka Mwanjali.

Aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam, ambaye pia ni mtoto wa Spika mstaafu wa Bunge la Tisa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Marehemu Samwel John Sitta, Benjamin Sitta.

Wakili wa kujitegemea Muharami Rajabu Chuma.

Afisa Mwandamizi usimamizi wa Fedha kutoka Management ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ndugu Geofrey Timothy.

Hemed Ahmed Khamis Tirgis.

Simon Kinabo.

Ally Maftah.

 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad