google-site-verification: googleb0bc30c3e5fdb812.html Membe “Sitakuja Kurudi CCM tena” | UDAKU SPECIAL

Membe “Sitakuja Kurudi CCM tena”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Undani wa Bernard Membe kung'olewa - MtanzaniaAliyewahi kuwa waziri wa mambo ya nje Bernard Membe amesema hawezi hata siku moja kurudi ndani ya chama cha mapinduzi (CCM) kama watu wengi wanavyozani.

Akizungumza kwenye mahojiano ya moja kwa moja na muandishi wa habari mkongwe nchini Jenerali Ulimwengu amesema CCM ndiyo imemkataa na si yeye ndiyo maana walimfukuza kwenye chama hicho.

“Chama cha mapinduzi ndo kimenikataa na kunifukua uwanachama sio mimi sikikukataa chama cha mapinduzi sasa nasema hivi hutanisikia tena nikirejea ndani ya CCM” amesema Membe.

Ikumbukwe kuwa Membe amekuwa akihusishwa na kujiunga na vyama vingine vya siasa nchini ili kutimiza ndoto ya kuwa rais wa Tanzania.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad