Membe “WanaCCM Wengi Hawana Furaha”

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya Nje Bernard Membe amesema kuwa chama chake  za zamani CCM kinapaswa kujipanga kuelekea kwenye uchaguzi unaokuja kwani wapo wanaccm wengi watakaotafuta furaha nje ya chama hicho.

Akizungumza kwenye mahojiano ya maalum na mwanahabari nguli Jenerali Ulimwengu kwenye kipindi maalum kwenye televisheni mtandao ya mwandishi huyo Membe amesema anamini wapo wengi ambao hawana madaraka na wamechoka kuwa bila furaha.

“Mimi napata nguvu kubwa kuwa kuna watu wengi sana ambao ni wanachama wa kawaida wengi ndani ya CCM ambao wanataka uhuru, wanataka furaha na wataunga mkono juhudi za kusaka furaha hiyo nje kwakua wameikosa ndani ya CCM yao ndani ya miaka 5” amesema Membe.

Ikumbukwe Bernard Membe anatarajiwa kutangazwa muda wowote kujiunga na chama cha ACT wazalendo ili kuweza kutikiza ndoto yake ya kugombea urais.

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad