Menina apewa ubalozi wa vipodozi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Diva wa filamu nchini, Menina Abubakari leo Alhamisi Julai 23, amepata ubalozi wa vipodozi vyenye uwezo wa kupendezesha ngozi bila ya madhara.

Akizungumza na wandishi wa habari jijini Dar es Salaam amesema vipodozi hivyo havina kemikali inayoharibu ngozi na kwamba vimethibitishwa na mamlaka husika.

“Ninafurahi kupata ubalozi wa bidhaa za vipodozi vya Wix kwa kuwa ni mafuta na sabuni ambazo hupendezesha ngozi nime jaribu kutumia na matokeo ni mazuri Kama mnavyoona ngozi yangu,” amesema Menina.

Kwa upande wake mmiliki wa kampuni ya Wix Director Joan amesema bidhaa hiyo inapatika katika maduka tofauti hapa nchini na gharama yake ni ya kawaida na kwamba inaweza kutumiwa na mtu yoyote.

Menina apewa ubalozi wa vipodozi

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad