AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
“Kuna wakati tulipanga sehemu ya kuzika Viongozi iwe Dodoma, Mzee Mkapa akasema nizikeni Lupaso, nilipomuuliza Mzee Kikwete akasema Msoga, nikaogopa kumuuliza Mzee Mwinyi maana ana miaka mingi isije kutokea kitu nikaonekana nimemletea uchuro, mimi pia nataka nizikwe Chato”-JPM
“Baada ya Mkapa kusema akifariki azikwe Lupaso, Kikwete Msoga, mimi nikawaza nikifariki nizikwe Chato, nikasema eneo lililotengwa kwa mazishi ya Viongozi Dodoma labda atazikwa Mzee Malechela tu ambaye kwao Dodoma na hatolimaliza, nikaruhusu eneo litumike kwa mambo mengine”-JPM
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK