AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
KAIMU Katibu Mkuu wa Yanga Simon Patrick amesema Kocha Msaidizi wa Yanga, Charles Boniface Mkwasa ameomba kupumzika kukinoa kikosi hicho.
Mkwassa alikuwa anafanya kazi na aliyekuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo Luc Eymael ambaye amefutwa kawa kocha
Eymael alifutwa kazi ndani ya Yanga, Julai 27 baada ya kueneza taarifa zilizokuwa na viashiria vya ubaguzi wa rangi jambo ambalo sio la kiungwana kwa familia ya michezo na dunia nzima kiujumla.
Katibu amesema kuwa Mkwassa kwa sasa ameomba kupumzika na majukumu ya kukinoa kikosi hicho hivyo watalazimika kumtafuta mbadala wake.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK