Mo amuomba Rais Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mfanyabiashara, Mohammed Dewji, maarufu kwa jina la MO amemuomba Rais John Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa.

“Leo nimeamua kuanzisha petition (maombi) kwa Rais wetu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt John Pombe Magufuli kubadili jina la uwanja wa Taifa kuwa: Uwanja wa Benjamini William Mkapa,” aliandika MO katika ukurasa wake wa Twitter.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad