Mrema "Msajili Huoni Huu Ukiukwaji wa Sheria kwa Vyama?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje wa Chadema, John Mrema amesema kuna ukiukwaji wa sheria kwenye vyama vya siasa.

Amesema watumishi wa umma wanalazimishwa kushiriki siasa na kuvaa nguo za vyama.

“Chukua hatua ya kukemea ili ulinde heshima ya ofisi yako,” mrema

Mrema aliandika ujumbe huo katika ukurasa wake wa Twitter “Msajili wa vyama huoni Hui ukiukwaji wa sheria ya vyama vya siasa? Watumishi w umma wanalazimishwa kushiriki siasa na kuvaa nguo za vyama …. Chukua hatua ya kukemea ili ulinde heshima ya ofisi yako,”.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Good Moningi Mrema.
    Umechelewa kuchukua Fomu..??

    Hao Vibeko wengine wameshajaza..? Umesikia kama Steve na ameshachukua ya Jimbo la Lahisi mtalajiwa Mchungaji Pita hukoo..!

    ReplyDelete

Top Post Ad