Mrembo Ajuta Baada ya Kumkataa Mkaka Aliyemtongoza Kwa Miaka Mitatu Facebook...

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mdada huyo pichani amejitosa kujutia kupuuzia na kutojibu meseji za jamaa huyo ambaye alikuwa akimtongoza inbox muda mrefu kuanzia 2016 hadi 2019. Majuto ya mrembo huyo yamekuja kufuatia wiki hii jamaa huyo kutangazwa kuwa mmoja wa washiriki wapya waliopita katika mchujo ili kuingia katika shindano la Big Brother Nigeria 2020 ambapo mshindi hupata mkwanja wa maana.

Mdada ameongeza kuwa atajutia zaidi maisha yake yote kupuuzia inbox za jamaa huyo hasa kama ataibuka kidedea kujizolea kitita
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad