AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rapa huyo toka Toronto, kwa sasa ndiye msanii mwenye maingizo mengi zaidi kwenye Top 10 ya chati hizo kwa muda wote. Amefikia mafanikio hayo mara baada ya nyimbo mbili alizoshirikishwa na DJ Khaled "Popstar" na "Greece" kuingia kwenye chati wiki hii na kumfanya kuwa na maingizo 40.
Drake amempiku Madonna ambaye kwa sasa amebaki na maingizo 38 kwenye chati hizo zenye umri wa miaka 62.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK