Mwigizaji wa Bongo Movies Yusuph Mlela Ajibu Kuhusu kujiweka Kama Mwanamke

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


Msanii wa filamu Yusuph Mlela amefunguka kuhusu lifestyle yake na kusema, atafanya vitu vyote kama kusuka au kuvaa hereni lakini hawezi kujiweka kama mwanamke japo wapo wengine wanaofanya hivyo.

Yusuph Mlela ambaye aliwahi kushiriki uwanamitindo amesema kwa kuwa yeye ni msanii, anatakiwa kubadilika kimuonekano ili kupendeza na kuonekana fresh ila hawezi kujifanya kama mwanamke.

"Style yangu ya kusuka napendeza na kuonekana fresh kwa sababu mimi ni msanii natakiwa nibadilike badilike, kama leo ukiniona nina para kesho unikute na nywele, kitu ambacho siwezi kufanya kwenye hii lifestyle ni kujiweka kama mwanamke, kila mtu yupo na anavyojihisi lakini kama mimi Mlela siwezi kufanya hivyo" ameeleza Yusuph Mlela.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad